MAELEKEZO YA KIMUNGU
Failed to add items
Sorry, we are unable to add the item because your shopping basket is already at capacity.
Add to cart failed.
Please try again later
Add to wishlist failed.
Please try again later
Remove from wishlist failed.
Please try again later
Follow podcast failed
Unfollow podcast failed
-
Narrated by:
-
Written by:
About this listen
JAMBO MUHIMU KWA MAFANIKIO
Mafanikio ya kweli hayategemei mawazo makubwa, fedha, au mahusiano ya kibinadamu pekee, bali yanategemea maelekezo ya Mungu. Neno la Mungu latufundisha kuyathamini maelekezo kuliko fedha, na maarifa kuliko dhahabu safi. Mara nyingi, hatua yako inayofuata hutokana na kutii neno rahisi la Roho Mtakatifu, hata kama halina mantiki kwa akili ya kibinadamu. Bwana ndiye anayekufundisha ili upate faida na anayekuongoza katika njia ikupasayo kuifuata. Hakuna kinachomfanya mtu awe mkuu kama kufuata maelekezo ya kiungu.
No reviews yet