PRIME MEMBER EXCLUSIVE | 3 Months Free Trial

Auto-renews at INR 199/mo after 3 months. Cancel anytime. Offer ends 15 July, 2026.
Tikvah's Podcast cover art

Tikvah's Podcast

Tikvah's Podcast

Written by: Tikvah
Listen for free

The podcast seeks to inspire, educate, and connect Christians in navigating Christian living, family dynamics, faith-building, and impactful engagement with the world.

© 2026 Tikvah's Podcast
Art
Episodes
  • AI na Ubunifu wa Injili | Je, AI Inaua Creativity au Inaiinua? | Ft. Innocent Mwagilo
    Jun 27 2026

    Send us Fan Mail

    Katika sehemu ya kwanza ya mfululizo wetu kuhusu AI na Ubunifu wa Injili, tunazungumza na Innocent Mwagilo — Music Producer, Songwriter na Sound Engineer.

    Katika mazungumzo haya tunachunguza namna Artificial Intelligence (AI) inavyoendelea kubadilisha music production na ubunifu kwa ujumla. Je, AI ni tool nyingine tu kama tulivyozoea kutumia studio software, au imeanza kuchukua nafasi ya creativity ya mwanadamu?

    Hili si mjadala wa kupinga au kuunga mkono AI.

    Ni mazungumzo ya kutafuta hekima, kuelewa mabadiliko yanayotokea, na kujiuliza jinsi Wakristo wanavyoweza kuitumia teknolojia kwa namna inayomheshimu Mungu.

    🎙️ Guest: Innocent Mwagilo
    Music Producer | Songwriter | Sound Engineer

    Karibu Tikvah Podcast.

    Show More Show Less
    42 mins
  • Yusufu: Kivuli cha Kristo
    Jun 21 2026

    Send us Fan Mail

    Simulizi la Yusufu siyo tu hadithi ya kutoka gerezani kwenda ikulu. Ni picha inayotuelekeza kwa Kristo.

    Yusufu alikuwa mwana aliyependwa na baba yake, akakataliwa na ndugu zake, akauzwa kwa fedha, akateseka bila hatia, na hatimaye akainuliwa ili kuhifadhi uhai wa wengi.

    Kwa namna kubwa zaidi, yote haya yanatuelekeza kwa Yesu Kristo — Mwana mpendwa wa Baba, aliyekataliwa, aliyeteseka, na kupitia mateso yake akaleta wokovu kwa ulimwengu.

    Katika kipindi hiki tunatafakari kwa nini Misri haikuwa nyumbani kwa Yusufu, na kwa nini Mkristo hapaswi kujenga tumaini lake juu ya mafanikio, mamlaka, mali, au nafasi aliyonayo, bali juu ya Kristo na uzima wa milele.

    Karibu kusikiliza Tikvah Podcast.

    Show More Show Less
    45 mins
  • Imani Kwa Mungu Au Imani Kwa Mbinu?-Episode 3
    Jun 8 2026

    Send us Fan Mail

    Katika Episode hii nimefanya mazungmzo na kaka yangu na mwalimu wangu Faith Joel Shimba Kuhusu namna kanisa limejikuta likibobea katika shughuli za kiroho na kusaua kuhusu Mungu

    Show More Show Less
    57 mins
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
No reviews yet